Friday, November 20, 2015

UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI NA MOJA (11).


Mh,Dkt. John Pombe Joseph Magufuli rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania amelihutubia bunge kwa mara ya kwanza inchini, akisisitiza kuwa Bunge ni chombo muhimu, halipaswi kuwa chombo cha malumbano, kutukanana, kutoka nje, n.k. Katika hotuba ya Mh.Rais John Pombe Joseph Magufuli Amesema anachukizwa sana na vitendo vya rushwa na ufisadi, Pia kasisitiza kuwa atahakikisha safari zote za nje ya nchi zinadhibitiwa ili kuongeza mapato ya nchi.

HOTUBA YA MHESHIMIWA DK. JOHN POMBE MAGUFULI.