Thursday, November 5, 2015

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AKIELEKEA IKULU.

Rais Dk. John Pombe Magufuli  akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli akiwasili Ikulu mara baada ya Kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mh. Dk Ally Mohamed Shein rais wa Zanzibar wakibadilishana mawazo na  Uhuru Kenyata wakati wa hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Raila Odinga, na Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Raila Odinga katika Picha.
Dk.John Pombe Magufuli rais wa Jamhuri wa Mungano wa Tanzania katika picha ya Pamoja.

Posted By Emman W