Rais Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli akiwasili Ikulu mara baada ya Kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Dk Ally Mohamed Shein rais wa Zanzibar wakibadilishana mawazo na Uhuru Kenyata wakati wa hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Posted By Emman W