Sunday, November 22, 2015

MH. JOHN MAGUFULI BAADA YA KULIZINDUA BUNGE.


Mh. John Pombe Magufuli  wakibadilishana mawazo na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi  baada ya kulihutubia Bunge la kumi na moja (11) na kulizindua Mjini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli (Kushoto)  Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, (Kulia) Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, baada ya kuhutubia Bunge la 11, Mjini Dodoma.
Mh,Dk. John Magufuli akimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Mama Ineke Bussemaker kwa mchango wao.

Mh. John Pombe Magufuli akimshukuru na kumkabidhi cheti mwakilishi wa Benki kwa mchango wao baada ya kulizindua rasmi Bunge la 11 Mjini Dodoma.