Thursday, November 19, 2015

KUAPISHWA KWA WAZIRI MKUU KATIKA VIWANJA VYA IKULU.

Mh.John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya kiapo Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Kassim baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Joseph Magufuli  katika picha na Makamo wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (Kulia) Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Kassim.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli katika picha ya pamoja na familia ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Kassim baada ya kuapishwa katika viwanja vya Ikulu Dodoma.