Saturday, December 12, 2015

KUAPISHWA KWA BARAZA LA MAWAZIRI NA HM. MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli akimuapisha Ummy Ally Mwalimu kuwa Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto. Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Mh. Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Ikulu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Jenista Joakim Mhagama kuwa Waziri wa Nchi , Ofisi...

Thursday, December 10, 2015

MHE.RAIS JOHN MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais John Magufuli akitangaza baraza la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa. BARAZA LA MAWAZIRI TANZANIA Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora. Mawaziri - George Simbachakene na Angella Kairuki Naibu Waziri - Sumeilam Jafo. Naibu. Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira Waziri - January Makamba Naibu...

Wednesday, December 9, 2015

MH, RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA USAFI UFUKWE WA FERRY.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John P. Magufuli akiwa pamoja na Mke wake Mama Janeth Magufu katika  eneo la ufukwe wa ferry jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizoa taka katika  eneo la ufukwe wa ferry jijini Dar es Salaa...

Thursday, December 3, 2015

MH.RAIS MAGUFULI NA VIONGOZI WA UMOJA WA SEKTA BINAFSI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amewapa siku saba kuanzia tarehe 03/12/2015 wafanyabiashara wote ambao waliingiza mizigo yao bila kulipa kodi wakalipe kwani baada ya hapo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Hayo yamesemwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam na Mheshimiwa Rais katika mkutano wake na wadau wa sekta binafsi alipoamua kufanya mazungumzo nao pamoja na kuwasikiliza maoni yao ikiwa ni sehemu ya ahadi zake...

ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI NA TRL ALIYOIFANYA MH. MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimwonyesha Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es salaam, Bw. Abel Mhanga orodha ya makontena 2,431 yaliyopitia kwenye banda ya Dar es salaam bila kulipiwa kodi bandarini Desemba 3, 2015. *Akuta makontena 2,431 yametoka bila kulipiwa ushuru *Ataka majina yaletwe ofisini leo saa 11 jioni *Atoa wiki wiki moja kwa mfumo wa malipo kubadilishwa *Akagua mabehewa, awaweka kiporo TRL WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara...

Friday, November 27, 2015

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA TRA

Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa leo ameamuru kukamatwa kwa maafisa kadhaa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na wengine kufukuzwa kazi baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini na kukuta madudu ambayo hakuyafurahia. Maafisa hao, ambao kwa sasa tunahifadhi majina ili Jeshi la Polisi liweze kuwashughulikia, wametakiwa pia kusalimisha hati zao za usafiri.Hii imekuja baada ya kugundulika kwamba kuna makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya...

Wednesday, November 25, 2015

JUKWAA HURU LA WAZALENDO KWA RAIS DK. JOHN MAGUFULI.

Mwenyekiti wa Jukwaa Ally Salum akizungumza na Waandishi wa habari leo katika hoteli ya Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam (kulia)  Katibu wake, Mtela Mwampamba. JUKWAA HURU LA WAZALENDOTAMKO LA JUKWAA KWA VYOMBO VYA HABARI  Ndugu Wanahabari,Mbele yenu sisi tuliowaita hapa ni Jukwaa Huru la Wazalendo ambalo limeitisha mkutano huu ili kufikisha yale tuliyoyakusudia kuwaeleza umma wa watanzania.Sote tunatambua kuwa nchi yetu...

Tuesday, November 24, 2015

MCHUJO WA DARASA LA PILI KUPITIA NECTA

BARAZA la Taifa la Mitihani (NECTA) limesema ili kutekeleza sera ya elimu ya mwaka 2014, watoto wataanza kukariri darasa kuanzia wakiwa darasa la pili.Alisema hatua hiyo itachukuliwa endapo watashindwa mtihani wa kujipima ambao utaanza rasmi mwakani kwa wanafunzi wa ngazi hiyo ya elimu.Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde, aliyasema hayo mwishoni mwa wiki alipozungumza na gazeti hili.Alisema kufanyika kwa mitihani hiyo kunakwenda sambamba...

Sunday, November 22, 2015

MH. JOHN MAGUFULI BAADA YA KULIZINDUA BUNGE.

Mh. John Pombe Magufuli  wakibadilishana mawazo na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi  baada ya kulihutubia Bunge la kumi na moja (11) na kulizindua Mjini Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli (Kushoto)  Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, (Kulia) Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi, baada ya kuhutubia Bunge la 11, Mjini Dodoma. Mh,Dk. John Magufuli akimkabidhi cheti Mkurugenzi Mtendaji...

Friday, November 20, 2015

UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI NA MOJA (11).

Mh,Dkt. John Pombe Joseph Magufuli rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania amelihutubia bunge kwa mara ya kwanza inchini, akisisitiza kuwa Bunge ni chombo muhimu, halipaswi kuwa chombo cha malumbano, kutukanana, kutoka nje, n.k. Katika hotuba ya Mh.Rais John Pombe Joseph Magufuli Amesema anachukizwa sana na vitendo vya rushwa na ufisadi, Pia kasisitiza kuwa atahakikisha safari zote za nje ya nchi zinadhibitiwa ili kuongeza mapato ya nchi. HOTUBA...

Thursday, November 19, 2015

KUAPISHWA KWA WAZIRI MKUU KATIKA VIWANJA VYA IKULU.

Mh.John Pombe Magufuli akimkabidhi hati ya kiapo Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Kassim baada ya uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Joseph Magufuli  katika picha na Makamo wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (Kulia) Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Kassim. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Magufuli katika picha ya pamoja na familia ya Waziri Mkuu...

DK. TULIA ACKSON NAIBU SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA.

Dk.Ackson Mwansasu Naibu Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akila kiapo baada ya kuchaguliwa na Wabunge Mjini Dodoma. ...

Thursday, November 5, 2015

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AKIELEKEA IKULU.

Rais Dk. John Pombe Magufuli  akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli akiwasili Ikulu mara baada ya Kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mh. Dk Ally Mohamed Shein rais wa Zanzibar wakibadilishana mawazo na  Uhuru Kenyata wakati wa hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Raila Odinga, na Mama Janeth Magufuli akisalimiana...