Wednesday, December 9, 2015

MH, RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA USAFI UFUKWE WA FERRY.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John P. Magufuli akiwa pamoja na Mke wake Mama Janeth Magufu katika  eneo la ufukwe wa ferry jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizoa taka katika  eneo la ufukwe wa ferry jijini Dar es Salaam.