Saturday, December 12, 2015

KUAPISHWA KWA BARAZA LA MAWAZIRI NA HM. MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli akimuapisha Ummy Ally Mwalimu kuwa Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Mh. Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Jenista Joakim Mhagama kuwa Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dk. Abdallah Saleh Possi kuwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye ulemavu) Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mh, Rais Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi  Muongozo wa kufanyia kazi  kwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Harrison George  Mwakyembe mara baada ya kumuapisha Ikulu jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na Mawaziri wake mara baada ya kuwaapisha Jijini Ikulu Dar es salaam.