Saturday, December 12, 2015

KUAPISHWA KWA BARAZA LA MAWAZIRI NA HM. MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli akimuapisha Ummy Ally Mwalimu kuwa Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto. Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Mh. Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Ikulu. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Jenista Joakim Mhagama kuwa Waziri wa Nchi , Ofisi...

Thursday, December 10, 2015

MHE.RAIS JOHN MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais John Magufuli akitangaza baraza la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa. BARAZA LA MAWAZIRI TANZANIA Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora. Mawaziri - George Simbachakene na Angella Kairuki Naibu Waziri - Sumeilam Jafo. Naibu. Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira Waziri - January Makamba Naibu...

Wednesday, December 9, 2015

MH, RAIS JOHN MAGUFULI AFANYA USAFI UFUKWE WA FERRY.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John P. Magufuli akiwa pamoja na Mke wake Mama Janeth Magufu katika  eneo la ufukwe wa ferry jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizoa taka katika  eneo la ufukwe wa ferry jijini Dar es Salaa...

Thursday, December 3, 2015

MH.RAIS MAGUFULI NA VIONGOZI WA UMOJA WA SEKTA BINAFSI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amewapa siku saba kuanzia tarehe 03/12/2015 wafanyabiashara wote ambao waliingiza mizigo yao bila kulipa kodi wakalipe kwani baada ya hapo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Hayo yamesemwa leo Ikulu jijini Dar es Salaam na Mheshimiwa Rais katika mkutano wake na wadau wa sekta binafsi alipoamua kufanya mazungumzo nao pamoja na kuwasikiliza maoni yao ikiwa ni sehemu ya ahadi zake...

ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI NA TRL ALIYOIFANYA MH. MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimwonyesha Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es salaam, Bw. Abel Mhanga orodha ya makontena 2,431 yaliyopitia kwenye banda ya Dar es salaam bila kulipiwa kodi bandarini Desemba 3, 2015. *Akuta makontena 2,431 yametoka bila kulipiwa ushuru *Ataka majina yaletwe ofisini leo saa 11 jioni *Atoa wiki wiki moja kwa mfumo wa malipo kubadilishwa *Akagua mabehewa, awaweka kiporo TRL WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara...