
Dk. John Pombe Magufuli rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya tano (5) akiwashukuru watanzania wote waliompatia Ushindi kwenye uchaguzi wa Rais, uliofanyika tarehe 25.
Rais Mteule Dk. John Pombe Magufuli na Makamu wake Mteule, Mama Samia Suluhu Hassan wakionyesha Vyeti walivyokabidhiwa na Jaji Mstaafu Damian Lubuva wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi mara baada ya kushinda kiti cha Urais kwenye uchaguzi uliofanyika tarehe...