Friday, October 30, 2015

DK. JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI

Dk. John Pombe Magufuli akiyonyesha cheti cha ushindi wa Urais, baada ya kukabidhiwa cheti hicho na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Jaji Mstaafu Damian Lubuva akimkabidhi Makamu wa Rais Mteule, Mama Samia Suluhu Hassan hati ya Ushindi.